Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki wiki hii tukizungumzia ugonjwa wa kansa na jinsi ambayo unaweza kuathiri afya ya akili kwa wagonjwa, familia na hata watoa huduma ya Afya. Fahamu pia hadithi nzuri ya kusisimua ya mwanamke mmoja jasiri aliyejaa na tumaini, tuliyempa jina la 'Amina'.
Habari Rafiki, karibu kwenye podcast yetu ya leo na wiki tukiendeleza mada yetu kuhusu Chanjo ambapo tutaangali kwa kina utaratibu wa chanjo Tanzania. Karibu...
Karibu kwenye doctor rafiki, wiki hii tukiendelea na mada ya Mpox, tukizungumzia katika upande wa wajawazito, watoto na wagonjwa wa muda mrefu. karibu sana...
Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki, tukiangazia juu ya mambo kadhaa ya kufahamu kuhusu 'Uchangiaji wa Damu' kwenye vituo vya Afya au...