Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na magonjwa?
Karibu kujifunza.
Kwa mawasiliano nasi, barua pepe: [email protected]
Siku ya Afya Duniani tarehe 7 April 2024 ina kauli mbiu ya "Afya yangu, Haki Yangu". Mada ya mwaka huu ilichaguliwa ili kuwa bingwa...
Habari Rafiki, tukiwa tunamaliza mwaka, haya ni machache ya kuzingatia wakati huu wa sikukuu; Usalama Barabarani mwisho wa mwaka. Ungana nami Daktari wako Dr....
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya...