Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na magonjwa?
Karibu kujifunza.
Kwa mawasiliano nasi, barua pepe: [email protected]
Karibu kusikiliza podcast mpya na Doctor Rafiki, wiki hii tukiwa na mgeni, Doctor Martha Kungu kutoka 'Afya Passion Clini' tukizungumzia kuhusu sonona na msongo...
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki Afrika, tukienda kuzungumzia suala zima la ngozi. Wiki hii tunaungana na Daktari bingwa wa masuala...
Karibu katika episode ya tatu na Doctor Rafiki Katika mada yetu ya Chanjo. Episode hii tupo na mgeni Dr. Irene Mageni ambapo kwa pamoja...