Hii podcast inazungumzia juu ya kansa za utotoni, ikiwemo uwezekano wa kupona na kuendelea na maisha yenye afya. Utasikia shuhuda kutoka kwa Kelvin Kashaija aliyewahi kuugua kansa akiwa utotoni, akielezea safari yake ya matibabu, changamoto alizokutana nazo, na jinsi alivyoshinda ugonjwa huo.
Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki kusikiliza na kujifunza kuhusu lishe kwa wagonjwa wa kisukari. Ungana nami Doctor Juliet Sebba pamoja na...
Habari Rafiki, karibu kwenye episode ya leo ukiwa na Doctor Juliet Sebba, MD. Leo tunaenda kujifunza kuhusu mambo yote muhimu unayopaswa kuyafahamu kuhusu Unyonyeshaji....
Karibu kwenye podcast ya doctor rafiki, tukizungumzia kwa kina kuhusu mazoezi na mtindo wa maisha kipindi cha likizo, karibu ungana nami host wako mahiri...