Hii podcast inazungumzia juu ya kansa za utotoni, ikiwemo uwezekano wa kupona na kuendelea na maisha yenye afya. Utasikia shuhuda kutoka kwa Kelvin Kashaija aliyewahi kuugua kansa akiwa utotoni, akielezea safari yake ya matibabu, changamoto alizokutana nazo, na jinsi alivyoshinda ugonjwa huo.
Habari Rafiki, Karibu kwenye Doctor Rafiki Africa, tukizungumzia mambo matano (05) ya kufanya kuboresha Afya yako ya akili 2025. Karibu ujumuike nasi Kwa maoni,...
Karibu kusikiliza episode nyingine ya Doctor Rafiki, na wakati huu tukizungumzia sifa na tabia binafsi zinavyoathiri afya yako.
Karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki, tukiendelea na mada yetu ya 'Uchangiaji wa Damu', Wiki hii Doctor Rafiki anaangazia maswali na majibu kuhusu...