Hii podcast inazungumzia juu ya kansa za utotoni, ikiwemo uwezekano wa kupona na kuendelea na maisha yenye afya. Utasikia shuhuda kutoka kwa Kelvin Kashaija aliyewahi kuugua kansa akiwa utotoni, akielezea safari yake ya matibabu, changamoto alizokutana nazo, na jinsi alivyoshinda ugonjwa huo.
Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora...
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya doctor rafiki, wiki hii tunazungumzia magonjwa yasiyopewa kipaumbele yanavyoweza kuathiri afya ya mama na mtoto. Karibu ungana...
Karibu kwenye doctor rafiki podcast, wiki hii tukizungumzia kuhusu Kansa ya titi na jinsi gani inavyowezekana kutibika pindi itakapogundulika mapema na kuanza matibabu.