KWANINI JAMII IHUSISHWE KWENYE TAFITI ZA AFYA

September 20, 2024 00:22:51
KWANINI JAMII IHUSISHWE KWENYE TAFITI ZA AFYA
Doctor Rafiki Afrika
KWANINI JAMII IHUSISHWE KWENYE TAFITI ZA AFYA

Sep 20 2024 | 00:22:51

/

Hosted By

Dr. Juliet Sebba, Medical Doctor

Show Notes

Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tunazungumzia kuna umuhimu gani wa Jamii kuhusishwa kwenye tafiti za Afya. Ungana nami Host wako Dr. Juliet Sebba, MD nikiwa na Mgeni Dr. Rosalia Njau, MD, Msc ambaye yeye ni daktari mtafiti katika sekta ya Afya.

Other Episodes

Episode

July 03, 2024 00:22:05
Episode Cover

MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NA AFYA YAKO

Karibu kusikiliza episode mpya ya Doctor Rafiki, wiki hii tukiwa na mgeni wetu Aloyce Urassa, tukizungumzia namna gani Mabadiliko ya tabia ya Nchi yanaweza...

Listen

Episode

November 14, 2025 00:28:05
Episode Cover

HATUA 6 ZA KUONGEZA UFANISI KIPINDI UNAPOPITIA STRESS

Habari Rafiki, wiki hii tunaenda kufahamu hatua 6 muhimu za kufanya kuongeza ufanisi wako kipindi unapopitia stress. Karibu Kusikiliza

Listen

Episode

January 30, 2025 00:19:21
Episode Cover

MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE YANAVYOWEZA KUATHIRI AFYA YA MAMA NA MTOTO

Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya doctor rafiki, wiki hii tunazungumzia magonjwa yasiyopewa kipaumbele yanavyoweza kuathiri afya ya mama na mtoto. Karibu ungana...

Listen