Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa huduma za meno kwa wajawazito. Usikose kujua ukweli wa kitaalamu kuhusu tiba ya meno wakati wa ujauzito!
Habari Rafiki, Fahamu njia 05 za kutunza uzito sahihi. Karibu ungana nami Doctor Julieth Sebba, MD.
Karibu katika episode ya tatu na Doctor Rafiki Katika mada yetu ya Chanjo. Episode hii tupo na mgeni Dr. Irene Mageni ambapo kwa pamoja...
Siku ya Afya Duniani tarehe 7 April 2024 ina kauli mbiu ya "Afya yangu, Haki Yangu". Mada ya mwaka huu ilichaguliwa ili kuwa bingwa...