Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa huduma za meno kwa wajawazito. Usikose kujua ukweli wa kitaalamu kuhusu tiba ya meno wakati wa ujauzito!
Mwisho wa mwaka huleta changamoto nyingi kama presha ya kukamilisha malengo, mawazo ya mwaka mpya na mambo mbalimbali. Karibu kwenye Doctor Rafiki podcast kujifunza...
Karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki, wiki hii tukijifunza kupitia maswali na majibu kuhusu ugonjwa mpya wa Mpox ukiwa daktari wako, Dr. Juliet...
Habari Rafiki, Karibu kwenye Doctor Rafiki Africa, tukizungumzia mambo matano (05) ya kufanya kuboresha Afya yako ya akili 2025. Karibu ujumuike nasi Kwa maoni,...