Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa huduma za meno kwa wajawazito. Usikose kujua ukweli wa kitaalamu kuhusu tiba ya meno wakati wa ujauzito!
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya doctor rafiki, wiki hii tunazungumzia magonjwa yasiyopewa kipaumbele yanavyoweza kuathiri afya ya mama na mtoto. Karibu ungana...
Karibu kwenye episode ya leo ndani ya Doctor Rafiki Podcast tukiwa tunaangazia zaidi juu ya haki zako msingi unapokwenda kupata huduma za Afya katika...