Fahamu kuhusu Bidhaa salama na zisizo salama za Ngozi

July 11, 2025 00:24:41
Fahamu kuhusu Bidhaa salama na zisizo salama za Ngozi
Doctor Rafiki Afrika
Fahamu kuhusu Bidhaa salama na zisizo salama za Ngozi

Jul 11 2025 | 00:24:41

/

Hosted By

Dr. Juliet Sebba, Medical Doctor

Show Notes

Hi rafiki, mambo vipi? karibu kwenye episode ya leo, na wiki hii tunazungumzia suala zima la ngozi tukiangazia kuhusu bidhaa salama na zisizo salama za ngozi. Karibu ungana nami Dr. Julieth Sebba nikiwa na daktari bingwa wa ngozi Dr. Caroline Masanje.

Other Episodes

Episode

September 04, 2025 00:17:03
Episode Cover

Nini kinasababisha maumivu ya mgongo ya mara kwa mara

Je, unakumbwa na maumivu ya mgongo mara kwa mara? Katika video hii, daktari wa mazoezi (physiotherapy) Emmanuel Jacob ndani ya Doctor Rafiki Africa ataeleza...

Listen

Episode

October 25, 2024 00:16:00
Episode Cover

Unajizua Changamoto za Ugonjwa wa kansa ya matiti?

Karibu kwenye episode nyingine ya Doctor Rafiki, na wiki hii tunaendelea kuzungumzia ugonjwa wa kansa ya Matiti, tukielekeza macho yetu kwenye changamoto za ugonjwa...

Listen

Episode

June 05, 2024 00:18:05
Episode Cover

UNAFAHAMU NINI KUHUSU KUCHANGIA DAMU

Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki, tukiangazia juu ya mambo kadhaa ya kufahamu kuhusu 'Uchangiaji wa Damu' kwenye vituo vya Afya au...

Listen