Hi rafiki, mambo vipi? karibu kwenye episode ya leo, na wiki hii tunazungumzia suala zima la ngozi tukiangazia kuhusu bidhaa salama na zisizo salama za ngozi. Karibu ungana nami Dr. Julieth Sebba nikiwa na daktari bingwa wa ngozi Dr. Caroline Masanje.
Je, unakumbwa na maumivu ya mgongo mara kwa mara? Katika video hii, daktari wa mazoezi (physiotherapy) Emmanuel Jacob ndani ya Doctor Rafiki Africa ataeleza...
Karibu kwenye episode nyingine ya Doctor Rafiki, na wiki hii tunaendelea kuzungumzia ugonjwa wa kansa ya Matiti, tukielekeza macho yetu kwenye changamoto za ugonjwa...
Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki, tukiangazia juu ya mambo kadhaa ya kufahamu kuhusu 'Uchangiaji wa Damu' kwenye vituo vya Afya au...