Karibu kusikiliza episode mpya ya Doctor Rafiki, wiki hii tukiwa na mgeni wetu Aloyce Urassa, tukizungumzia namna gani Mabadiliko ya tabia ya Nchi yanaweza kuathiri Afya yako.
Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua,...
Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki kusikiliza na kujifunza kuhusu lishe kwa wagonjwa wa kisukari. Ungana nami Doctor Juliet Sebba pamoja na...
Je, unakumbwa na maumivu ya mgongo mara kwa mara? Katika video hii, daktari wa mazoezi (physiotherapy) Emmanuel Jacob ndani ya Doctor Rafiki Africa ataeleza...