Karibu kwenye Doctor Rafiki, wiki hii tukiendelea kujifunza kuhusu 'Mabadiliko ya Tabia ya Nchi yanavyoathiri Afya yako' tukiwa Doctor Rafiki (Dr. Juliet Sebba, MD) pamoja na Aloyce Urassa (Public Health Scientist)
Karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki, tukiendelea na mada yetu ya 'Uchangiaji wa Damu', Wiki hii Doctor Rafiki anaangazia maswali na majibu kuhusu...
Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tukiendelea na mada kuhusu Watoto Njiti. Je, unafahamu kuhusu Kangaroo Mother Care (kmc)? Inafanyaje kazi? Kufahamu haya...
Hii podcast inazungumzia juu ya kansa za utotoni, ikiwemo uwezekano wa kupona na kuendelea na maisha yenye afya. Utasikia shuhuda kutoka kwa Kelvin Kashaija...