Karibu sana kwenye episode ya leo na Doctor Rafiki, Wiki hii tukizungumzia kuhusu MAANDALIZI KABLA YA KUBEBA UJAUZITO; tukiwa na mtaalamu wa masuala ya afya ya kinamama na wajawazito, Dr. Tom Jackson MD, MMED,Msc.
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya...
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki wiki hii tukizungumzia ugonjwa wa kansa na jinsi ambayo unaweza kuathiri afya ya akili kwa wagonjwa, familia na...
Karibu kwenye kipindi cha Dr Rafiki na wiki hii tukiendelea na episode nyingine tukizungumzia 'Namna gani unaweza kumsaidia Mama mjamzito mwenye sonona' tukiwa na...