Karibu sana kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki na leo tukizungumzia suala zima la 'Lishe na Mtindo wa maisha kipindi cha Ujauzito'. Ungana nasi Dr. Juliet Sebba pamoja na Dr. Tom Jackson (Mtaalamu wa Afya ya kina mama na uzazi)
Kwa maoni, ushauri na maswali; wasiliana nasi kupitia email:
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya...
Karibu kwenye kipindi cha Dr Rafiki na wiki hii tukiendelea na episode nyingine tukizungumzia 'Namna gani unaweza kumsaidia Mama mjamzito mwenye sonona' tukiwa na...
Karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki, wiki hii tukijifunza kupitia maswali na majibu kuhusu ugonjwa mpya wa Mpox ukiwa daktari wako, Dr. Juliet...