Karibu sana kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki na leo tukizungumzia suala zima la 'Lishe na Mtindo wa maisha kipindi cha Ujauzito'. Ungana nasi Dr. Juliet Sebba pamoja na Dr. Tom Jackson (Mtaalamu wa Afya ya kina mama na uzazi)
Kwa maoni, ushauri na maswali; wasiliana nasi kupitia email:
Habari rafiki, karibu kwenye dr. rafiki podcast; Karibu ujifuzne kuhusu kifua kikuu sugu, jinsi kinavyoenea, dalili zake, na mbinu za matibabu. Sikiliza majibu ya...
Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora...
Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tukizungumzia suala zima la Kujiua. Ungana nami Dr. JulieT Sebba, tukizungumzia kwa kina suala hili.