Pumu ya ngozi (eczema) ni tatizo linalowaathiri watu wa rika zote, lakini wengi hawajui chanzo chake halisi. Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki akiwa na Dr. Salva Nicas, Md, Mmed wanachambua kwa undani visababishi vya pumu ya ngozi, athari zake, na jinsi ya kujikinga au kuitibu. Karibu upate maarifa sahihi yatakayokusaidia wewe na wapendwa wako kuishi maisha bora bila usumbufu wa ngozi. Sikiliza hadi mwisho – afya ni msingi wa maisha!
Karibu kwenye doctor rafiki podcast, wiki hii tukizungumzia kuhusu Kansa ya titi na jinsi gani inavyowezekana kutibika pindi itakapogundulika mapema na kuanza matibabu.
Karibu sana kwenye episode ya leo na Doctor Rafiki, Wiki hii tukizungumzia kuhusu MAANDALIZI KABLA YA KUBEBA UJAUZITO; tukiwa na mtaalamu wa masuala ya...
Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tukiendelea na mada kuhusu Watoto Njiti. Je, unafahamu kuhusu Kangaroo Mother Care (kmc)? Inafanyaje kazi? Kufahamu haya...