Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora za kuitunza ngozi yako kila siku. Utajifunza:
✅ Sababu za matatizo ya ngozi yanayotokana na utunzaji usio sahihi
✅ Namna ya kuchagua bidhaa salama kwa ngozi yako
✅ Vidokezo vya asili vya kuimarisha afya ya ngozi
✅ Mambo ya kuzingatia kwa ngozi yenye mafuta, kavu au mchanganyiko
Karibu kwenye doctor rafiki, wiki hii tukiendelea na mada ya Mpox, tukizungumzia katika upande wa wajawazito, watoto na wagonjwa wa muda mrefu. karibu sana...
Pumu ya ngozi (eczema) ni tatizo linalowaathiri watu wa rika zote, lakini wengi hawajui chanzo chake halisi. Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki akiwa na...
Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa...