Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya mdomoni pamoja na namna ya utatuzi wake. Ungana nami Dr. Julieth Sebba, MD tukiwa na mgeni wetu ambaye yeye ni daktari bingwa afya ya kinywa na meno, Dr. Evarist Wilson.
Habari Rafiki, karibu kwenye podcast yetu ya leo na wiki tukiendeleza mada yetu kuhusu Chanjo ambapo tutaangali kwa kina utaratibu wa chanjo Tanzania. Karibu...
Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua,...
Karibu kwenye doctor rafiki podcast, wiki hii tukizungumzia kuhusu Kansa ya titi na jinsi gani inavyowezekana kutibika pindi itakapogundulika mapema na kuanza matibabu.