SIKU YA AFYA DUNIANI | AFYA YANGU, HAKI YANGU

April 06, 2024 00:08:58
SIKU YA AFYA DUNIANI | AFYA YANGU, HAKI YANGU
Doctor Rafiki Afrika
SIKU YA AFYA DUNIANI | AFYA YANGU, HAKI YANGU

Apr 06 2024 | 00:08:58

/

Hosted By

Dr. Juliet Sebba, Medical Doctor

Show Notes

Siku ya Afya Duniani tarehe 7 April 2024 ina kauli mbiu ya "Afya yangu, Haki Yangu". Mada ya mwaka huu ilichaguliwa ili kuwa bingwa wa haki kwa kila mtu kila mahali katika kupata huduma bora za afya, maji safi ya kunywa, hewa safi, lishe bora, makazi bora na mazingira bora. Karibu ujumuike nami daktari wako - Doctor Rafiki

Kwa maulizo: Wasiliana nasi

Email: [email protected]

Other Episodes

Episode

June 05, 2024 00:18:05
Episode Cover

UNAFAHAMU NINI KUHUSU KUCHANGIA DAMU

Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki, tukiangazia juu ya mambo kadhaa ya kufahamu kuhusu 'Uchangiaji wa Damu' kwenye vituo vya Afya au...

Listen

Episode

May 06, 2025 00:15:33
Episode Cover

KWANINI TUNAWE MIKONO? | DR. RAFIKI AFRICA

Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na...

Listen

Episode

September 11, 2025 00:29:43
Episode Cover

NJIA ZA KUKABILIANA NA MAUMIVU YA MGONGO

Habari Rafiki, karibu kwenye episode nyingine ya Doctor Rafiki Africa, na wiki hii tunazungumzia njia za kukabiliana na maumivu ya mgongo. Ni furaha yetu...

Listen