Karibu kwenye episode ya leo ndani ya Doctor Rafiki Podcast tukiwa tunaangazia zaidi juu ya haki zako msingi unapokwenda kupata huduma za Afya katika kituo cha Afya au kupitia watoa huduma katika Jamii. Ungana nami Dr. Juliet Sebba, MD.
Habari Rafiki, karibu kwenye podcast ya leo, tukizungumzia mambo 08 muhimu ya kufahamu na kufanya kwaajili ya Afya na furaha ya mtoto wako. Ungana...
Siku ya Afya Duniani tarehe 7 April 2024 ina kauli mbiu ya "Afya yangu, Haki Yangu". Mada ya mwaka huu ilichaguliwa ili kuwa bingwa...
Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tukiendelea na mada kuhusu Watoto Njiti. Je, unafahamu kuhusu Kangaroo Mother Care (kmc)? Inafanyaje kazi? Kufahamu haya...