AFYA YA AKILI KWA VIJANA - DOCTOR RAFIKI AFRICA

October 17, 2025 00:31:35
AFYA YA AKILI KWA VIJANA - DOCTOR RAFIKI AFRICA
Doctor Rafiki Afrika
AFYA YA AKILI KWA VIJANA - DOCTOR RAFIKI AFRICA

Oct 17 2025 | 00:31:35

/

Hosted By

Dr. Juliet Sebba, Medical Doctor

Show Notes

Kipindi hiki kinazungumzia changamoto za afya ya akili miongoni mwa vijana — msongo wa mawazo, hofu ya maisha, presha kutoka kwa jamii, mitandao ya kijamii, na changamoto za kujitambua.

View Full Transcript

Episode Transcript

[00:00:00] Lazima laafia ya akili kwa vijana. Na noizo kajiuliza kwanini tunuungilea so lazima laafia ya akili kwa vijana? [00:00:15] Hai rafiki, mambo vibi, na yuto Juliet Seba ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Karibu unganenami katika podcast hii ya afya rafiki kila siku ya alhamis. Lengo ni kupati ya tarifa zatakazu kwezesha kufanya mamuzi bora yue afya yako, familia na jamiina ya kuzunguka. Hi rafiki, mambo vipi. Karibu kwenye episode nyingine Dr Rafiki Afrika. Tikuhina wiki injema na amini unahendilea vizuri. Tunahendilea mbele na siku ya leo tunahenda kudiscuss topic nyeti sana uyamumusana. Zoazima laafya ya akili kwa vijana. Na noizo kajiuliza kwa nini tunuongilea swala zima ala afya ya kili kwa vijana. Swala zima ala muhimu, kiuli muengu, lakini pia ni swala ala muhimu sana tunuongilea kwenyi nchiyotu ya Tanzania. Mambo mengia na indelea ni muhimu tukoongea. Lakini pia recently tuumeona kwa mba opu atu amba wamepoteza uhai kospagu ya swala zima ala afya ya kili. wakati tunajua zipo huduma ambazo, zinaweza kutolewa, zika msaidi ya mtu. Kwa hosiku ya lawa tutaenda kudiscussi kwanini ilishwa ni muhimu, kwenyi umrihu wa vijana, kwa zibabu ilishwa lamboi na athiri zaidi vijana. Lakini pia ni mambogani ambayo huwe naweza kutokea kwenye maisha ya kafanya mtu wakaradi na musungu wa mawazo, wakarada na usiwasi, uli opitiliza. Au mabadiliko mingine ya kitabi ya yanayotokana na changamoto za afyakiri. Lakini pia tutasonga mbele na kuangalia ninini, tunawezo kufanya kwenye level ya familia, jamii. na nchi ili kuboresha swala laafya ya kili. Kwa sababu tunavujua kabisa kumba vijana ndio nguvu kazi ya taifa. Vijana ndio kesho, ndio viongozi, vijana ndio wazalishaji. Kwa tunavu puteza vijana, tuna puteza nguvu kazi ya taifa, tuna puteza mawazo. ya watu wa mpawa ngeza kuleta mabadiliku, watu wa mpawa ngeza kuleta maindeleo, watu wa mpawa ngeza kubuni na kuboresha maisha ya kila siku ya Mutanzania kwa sababu ya afya ya akili na changamoto zaki zirizopo. Sawa. Vijana tunawangilea hapa kundi lalatu kwanzia miaka 15 paka miaka 29. Na takuimzi inaonyesha kumba hili ndo kundi yambao li na huwa most affected. Na kwa Tanzania katia vitu yambao vinaungoza kwenye kwa 3 ili kundi ni mambo ya afya ya akili. [00:03:07] Hii inaweza kuusababishwa na vitu mbali mbali. Ikileta athari kwenye familia, inaisa athari kwenye jamii, kwenye uzali shaji, kwenye nchi, kama tulivyo sema. Vyote vinauthiriwa kwa sababu vijana hawa ndiyo kinababa, ndiyo kinamama, ndiyo kinakaka na dada mbawa nategemewa, ndiyo mameneji ya mabosi, ndiyo wafanya biyashara. Kwa yoe yote ambaya naathirika, hata kama hajafikia kwenye kitendocha kujiondoa uhai, lakini hata kukuwatu naishida changamoto ya fiyakili na manuzaisha jiwake, ufanisi wake, uwepo wake kwenye familia, uunathohofiwa, na kuswabu iyo ni muhimu kuongelea. Hili kundi, tukianza kusema kwanini li naathirika zaidi. Kwanza, tsukimbushene kwa mba kwenye miaka 15 paka 29, Ni kundi ambalo mabadiliku mingi ya kimaisha ya natokea. Transition kubwa, kuanzia shuleni, tuka daraja moja kunda nyingine. Mfano, umtuwa napotoka sekundari, kunda chuwoni, ya napotoka chuwoni kwanza kutapita kazi. Haya yote ni madaraja ambayo ya naitaji nguvu kubwa ya kiyakili, ya naitaji stability kubwa ya kihisi ya nakiyakili. Kwa sababu kuna changamoto ambazo zinatokea, kuna symptom of a harm ambayo yonatokea, pressure ambazo zinatokea, risk kukataliwa saa nyingine, mtu wana apply kazi hapati, wana apply view hapati, hizi zote ni pressure ambazo. Kama mtu hajajua zile njia mbali mbali za kumudu, Afya ya kili, changamutu za afya ya kili inaweza kuleta changamuto kwa ki. Lakini pia to kumbuge kwa mba konya hili kundi la miaka 15 mbuka 29, ni kundi pia mbalo li naangaliwa konya sola zimaa uchumi. Kijana na po fika konya umiuwa na tegimewa, yei ya anze kuzalisha. Awe na familia yaki. Kama yu kona familia yaki, ya ni baba na tegimewa pari nyumbani, yawe ni mama. Lakini hata kama hajia wana kuhulea waki wa nyumbani kuhau, anategimea wani kuna kitu wazazi wanaangalia kwa mba. Okay, sasa mtoto tumisha sumesha, wanataka kwanza kuona unaleta kitu nyumbani. Hizo presha zote, zinaweza kuleta msongwa mawazu. na changamoto nyingine za kiakili, kukosa jira, inalita frustrations, inalita kukosa tumaini kwenye hichu kipindi, jamii haka 15 paka 29. Lakini jambo nyingine pia ambalo ni Michelle Igusia ni zile pressure ambazo ziko kwenye jamii na kwenye familia. Vitu kama expectations ambazo wa zazi ya ujamia inakuanayo kwa huyu kijana. Kama hazi jafikia, hazi inaweza kuleta msongwa mawazo. Na wengi wetu tu mepitia kwenye yu stage. Hata mimi ni mepita hapo kwa mboma maiza shule. Sasa unategemea upate kazi, upate ajira, au ujitegemea, au anze kuleta kitu nyumbani. Na inafika same kwa mba ki uchumi, hauwezi kufanya hivyo. Inasumbua, ina... Inanini inavunja moyo na saa ingine inaweza hata kuwa athiri jinsi yambako mtu anajiona. Binasi, yani hile self image yake, ikawa, imiathiriwa, akajiona mwenye njomba ya fai, yote hivi inaathiri afya ya kili ya mtu. Hatusemi kumba hizi jangamoto wazipo lakini chamoimu sana ni Watu kudiwa kwamba hivi ni vitu vya kawaida kwenye hizi stage za maisha na watu kudiwa mbinu gani au njia gani waneweza wakasutumia kwenye kuthibiti usongo wa mawazo na achangamatu nyungine zinazuweza kutokea kwenye afya ya kili katika kipindichu. [00:06:52] Kitu kingini ambacho kinaathiri hili kundi kwenye uo umri na kuafanya wawawi kwenye tari zaidi kwenye suwazi marafia ya kiri ni unyanyapauli yopo kwenye suwazi marafia ya kiri. Mfano, tunajua kumba kwenye jamii zetu wanaume wako expected kwena ngufu uanyesha uimara na uthabiti, uthabiti muda vote. Ni jambu zuri lakini jambu hili kienda mbele bila mipaka, jambu mbali naiza kuhathiri wanaume. Kwa saa hii tunaona kwa mba, hata kunyesu wazima la kutafuta msada, wakiakili kwa mamtu wabda na msungu wa mawazu, atafute mtua kuungia nai. Inakua ngumu kwa wanaume kufanya hivyo. Kwa sababu tu ya hile tamaduni yambayo taali yuko kwenye jamii kwa mba muna ume ya kiongea, haka sema hea na nisikia kusujui kuchoka na nisikia kuhumia moyoni, anaonekana kama hea ni mtu zaifu. Kwa yu unyanyapauli yopo pia kwenye jamii yuko nchiso lazima laafia ya akili, unachangia hili kundi la vijana namiaka kuminashano mpaka shina tisa, kuhasiriwa zaidi na chakamoto zaafia ya akili. [00:08:08] Kitu kingini amba shukinati ilikundi, niswa lazima la miundombinu. Changamoto hau gepsa mbazozi kukunyi miundombinu. Miundombinu na uelewa wa mambo ya afya ya akili. Tukiongea miundombinu ni kama mfano, jinsi ambavo mtua kifika hospitalini, anafikiria kwa mbani. Kisima naendo hospitalini kuhonana na daktari ya afya ya akili, kwanza ya pari reception hapozo, unataka kuhonana na nani? Nikisima naenda kuna ya nafya na dakterofia akili, mtu anawana, ah, kuna nafya na nitaangaliwa. Asa asa kama mfano ni kitu uchi ya afya kidogo, kwenye zi, communities ambazo unakutani indogo, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, kila anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu anafambu, kila mtu Kitengo anafambu, chafya ya kii likuwa sehemu ya zile kuduma rafiki za kila m vijana, youth friendly services. Kwenye suwa la zima rafi ya uzazi, tumewone imikuwa na mwiti kiumkubwa na imeonyesha positive effect. Imeonyesha matokeo mazuri kwenye vijana kutafuta au kufuata udu maza afya ya uzazi. Lakini inapopijia kwenye suala afya ya akili badu tunagepa po kwa mba vijana katika umri huu. Badu hii chikitu kinaonikana kinaonyanya paa. Kwa sao kinaonyanya paa, mtu wanakuambia, kama ningeweza kuna kumuona datari, bila atukudua nigeenda. Lakini msa hivi minafanya kazi semu flani, labda let's say ofisi ndoi nalipa insurance. As ofisi nzima itajua, mi kwa HR atoto onajua minaenda kuhunana na psychologist. Kwa iyo atoto onajua mimi na shida. Kwa atoto onajua minaenda kuhunana na doktora afya ya kili, kwa minachunga moto. Kwa iyo uwe pua huduma mbazo ni Youth Friendly Services na mini unaweza uka ungeza na fasi ya utayari wa watu kufata hizi huduma kwa sababu ya ule usiri uliopu. Lakini sualazima pia la stigma li na letter changamoto kwa sababu mtifano kama mtu anayenda clinic alafu anoneka na anayenda kwenye fuleni ya kondo kwa Dr. Rafia Akili. [00:10:37] Hapa kumbuka tunungi ato la zima la miundombinu na uwelewa diopo kwenye jamii kumba uwelewa badu ni mdogo, badu siwa la fia kili na unekana ni siwa la lini mnyanyepa na kwa sababu iyo miundombinu ili opo inaweza ikafanya watu wasiwe tayari kutafuta msada. Ya, hapa sisa niswa lazima la kuangalia. Mzia kwenye levu ya vituo vyaafya, lakini piata mashuleni kwenye taasisi. Ni undombinu hau uzile processes inafanyi kaje nsachia hui mtu wa weguru. kwenda kupata uduma zaafia ya kili. Sao, kumbuka apu tuko tunuongelea ni kwanini hilikundi liko kwenye changamoto zaidi ya... liko kwenye atari zaidi ya kupata changamoto zaafia ya kili. Tumongelea swala zima la uchumi, tumongelea swala zima kompani e-age ambayo watu wanabadilika kutoka stage majaku nda nyingine, tumongelea pressure zilizo kukonye familia na jemi, tumongelea swala la unyanyapa, lakini pia swala la mndumi. Sasa tupigia tuambele ni vitu gani sasa tunaweza tukafanya ili kuthibiti au kuboresha afya ya akili. Kuthibiti matatizo na kuboresha afya ya akili na atimaya hata tupunguze hivi matukiwa mbayo na tukiwa watu kupoteza uhai kwa sababu ya changamoto hizo. [00:12:10] Moji hapo ni kuongeza, tuongeze upatikanaji wa uduma za afya akili. Na tunaposema uduma, yani siyutu komba ili mtu wa miumua, sasa mendo hospitali. No, za afya akili ni ausisha mazingira ya kila siku ya mtu. Kuho tunaposema komba kuboresha Upatika naji wa support kwenye soazi maafia akili naanza kwenye gazi ya familia. Je katika ngazi ya familia, wazazi wanawelewa wa kutosha. Kueza kugundua simptomi mbali mbali ambazo zinaweza kuwa viashiria komba watoto wawo wanaachangamotu zaafia akili. Wewe kama mzazi unaweza kujiuliza. Je unaweza kugundua komba mtoto wangu tabia yake ni hii. Lakin za sahibi nauna kuna tabia fulani ambazo wa nazo mtuzo, siyo vyashiria vizuri. Za nyingine kwa sababu ya atamaduni chuzo nazo, yani niraisi kusuma kumba, kumba, eh, ni kiburi chake, tobua na sikwizi yaongei na mtu, sikwizi na kachi umbani ni kiburi chake. Miraisi kusema hivyo, lakini kumbe inawezeka na katika kipindicho yule mtoto kuna jambu anapitia shuleni, lina mpa msongwa mawazo, na kwa sababu hiyo, hameanza hile tabia ya kutaka kukaku nyi upuike. Kukaku nyi upuike siyo kumba anataka, lakini anamawazo muwe wake umeshuka. Tayari kuna dalili fani ambazo anazionyesha. Anaavoid kukana watu, hataki kula, hapati usingizu. Unohana tuye ni mtoto haikosawa, lakini kwenye ngazi ya familia sasa apo. Kwa mzazi ni muhim sana mzazi kuhuweza kujua, kuwa karibu na kijana wakwa sasa na pokuwa katika umri huu. Ni kuhuli mabadiliko ya kimuri na kitabi ya anatokia kwa mjana, mabadiliko katika umri wa balehe, lakini bado kuna nafasi ya mzazi. Kama mzazi, lakini pia sikuizi uzui ni kwamba kuna semina za malezi. Kama mzazi unazoka chukua atu wakunda kuna semina za malezi. Jifunze jinsi ya kuendana na mtoto haku, mabadiliko yake ya kitabia. Huseme tu ni kiburi na ni umri tu. [00:14:27] Kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini pia kuna mabadiliku anayotokana naumbri lakini Unarudi pia kuna mabadiliku giyoni, toka subu anayotokana unarudi naumbri giyoni. By the time unarudi, watoto wa mishakula wamenda vimbani. By the time unaruduka subu, kila mtoto wa mbibigilaki, anayenda shule. Mtoto wa anayenda na scoobers, l unayenda na gariyako. Kwa hiyo mtoto unazokuta. If you are not intentional, ujui tabieza mtoto hako. Ujui ukoje, ujui mabadili kone changamoto anazopitia. Na kama haukujienga uu karibu toka Mwanzoni, ukuwa kiwa mdogo, Ustegemea kiwa kifika umri wa teen. [00:15:18] Ustegimei kwa mba kama au kujenga urafiki ya kiwa mdogo, kijafika uyo umri wa balehe, ataanza kuwa karibu na ue, yani kunza ndoona kuwa mbali. Kwa iyo, kuanza malezi, yani yale maezi ya mbayo na kua intentionu kwa kunza ya mtoto ya kiwa mdogo, kujenga urafiki, kujua tabia yake, kujua vitu gani ya napenda, vitu gani ya pendi. Hata kifika kwenye umri balehe, kuhuona mabadili kua anayopitia, lakini kuendelea kutunza ukaribu, Hata zinapansa symptoms mbali mbali ambazo zileleiki, ue mzazi unakuwa mtu wa kwanza kuzi not kwa sababu kukaribu na mtoto. Watu au kundi lapili ambalo pia liko kunyena fasi nzuri ya kutuwa support ya mental health kwa umriu ni mashule kwa sababu njena mingi bado wako. Sekundari, lakini pia aviwoni. Na sukwizi, tunashukuru jitiada mpazo zinaendelea kwa kwa kancelors, kwenye shule. Kwanza yoko shule za sekundari sukwizi tunaona. Kuna kancelors, kuna watu wa mbawa nato ushauri na aviwoni. Nao, kitu cha umuimu kiingine mpazo kina kuji hapo lile. So, hazima alamia undombinu. Upatika naji wa hawa watu. Lakini pia jee hawa wato, wako trained na tunauna kombani wato wambawa naweza kusumuma kwenye yu na fasi. Kosa ukumbuka pia uni umri ambao kijana, akiwa judged, actually mtu yote. Akisha kujia na changamoto ambayo inamsumbua na kukawa na judgment, hawezi kuendelea kuhungia. Hataindelea tukusumbulia mwinyo na kuhumia mwinyo. Kwa hiyo mmoja, wepu hawa counsellors na referral systems kwa hali ambawa wako vizuri, lakini mbili wefu hawa safe spaces. Mmoja hapu ya njia ambazo baathi ya taasisi onazutumia kutangeneza safe space, mahali salama ambapo mtu wanaweza kuungia changa muto zaki ni wepu hawa peer to peer counselling groups au support groups. Makundi ya vijana rika ambayo ya nakitua ushauri, kama support groups lani. Kumba kumasikuwa ambayo vijana wanakapa mudia, kama nizile mfano clubs na mashuleni, wanaweza kuungea kumba afya ya kili ni mimi. Mitu geni vinaweza kutusawabisha chengamoto za afya ya kili, waka discuss zilambazo ziku within their age group. lakini bada hapo waka discuss njia geni wanaweza kufanya wakatuwa na mifano, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nilifanya hiki, mimi nil Lakini kama kuna nafasi ya uyu kijana kupata kijana muzake, either ageyake, au mkubwa kidogo, aka kubadishana mawazo kusu yusuazima, unanyesi ambavo, anaweza kufuka kiraisi zaini. Kwayo wepo wa safe spaces au mahali salama, wepo wa counsellors kwenye shule, wepo wa mentorship programs. [00:18:44] Kwa mba vijana rika mbao wamekua kumua waneza kuasaidia walio kwa adogu. Whether nivyoni hapo hapo au ni kwenye shule za secundary. Na hii ni kitu kinginicha muhim sana hapa kwenye shule ni kuwa included. Hii haya mambo ya fya kili ni muhim sana. ya wesemu, ya karikula za shule. Komba je na katopi kambako kaa naweza kusaidia watoto kujua changamoto za afya hakizi za zipi na jinsigeni wanaweza kabilia na nazo. Hata kujifunza tu zile techniques kama kupumuwa, breathings, yulia kuesabu, techniques palibali. Ni vitu ambavu ni vidogo lakini vinaweza kuavusha mahali pakubwa sana kwa Asia. [00:19:29] Kwa iyo chamuimu ni kuamba shule ni semuimu sana ambayo vijana wana muda mwingi wa kukana, kwa iyo shule ni mali ambapo vijana wanauzo kupata msada mkubo sana. Kondi ya dalili kuwanekana, lakini pia kulibiti kuafundisha wapate ilimu ili wasingie kwenye hizi changa moto. [00:19:49] Kitu kiingine cha muhim sana ni ilimu ya jumu la kua jamii. Kumba jamii na itaji ilimu ya kusuma buwafia ki. Kama sisi wate ni jamii. Nakonjia kwenye jamii kuna wananyuchi, kuna vyongozi, kuna serikali. Kwanza serikali izi za local government, za mtaa, lakini kwenda jumu. [00:20:10] Baka kwenye level ya taifa, uwepo wa zile public campaigns, kampenya mbalo zinongelea mambo ya afyakiri, mambo ya mini stress, mambo ya depression, anxiety na mingineo. Ni muhim sana. Ni vitu vinafanyika lakini tu siache. Na ue kama kiongozi kwenye jamii yako, usiache kuhonjia na vijana. Ue kama mzazi, usiache kuhonjia na vijana wako penifunduhia. Ue kama monye tasisi, usiache kutangeneza kampenya program za kuboresha uelewa. Uelewa ni muhimu kwa atoto Au vijana aki mwilewa ni mwumu kwa zazi na mwilewa ni mwumu kwa jami. Kwa sababu sisi wote ni kama bili tunalindana. Watu wakiona mwilewa kutosha, mtu wakiona chengamote itakuaraiti kuhiyona na kumumbia, I say, tafta msada. Awata hakienda kutafta msada kawa nikana, hata chekwa, hata fanyo tangazo. Kwa sababu wote tutanjua kumba, okay, ini hali ya kwaida. Ni kama malaria, ni kama TB, kwa mtu anendo hospitalini, anapata msada. [00:21:17] Njia nyingine mwimu sana ambayo tunaitaji kutumia kwenye kua address tualazima laafi ya kiwi ni suala umla Economic Empowerment lausu alazima la kuchumi kwa mba vijana wanaitaji kumuyo kichumi kwa mba huyu kijana ambayo namalisa shule, yanatoka daraja moja kunda jingine, natafta kazi, hamefika umriwa kujitegimea kuweza uwa vizuri Inapungula stress kwa sempubu. Kwa hiyo mbali, na muja po NGA ambazo tunazo kustumia mbali na ilimi ato ya darasani, kuwa na ilimu ya vocational training. Vocational training kwa poli-speech training na hituwa Jaila. Ilimu mbali na muzisha mtu aweze kujitege mea, aweze kujiajiri. Yes, aweze kujiajiri. Kwa hiyo ilimu mbali mbali za ufundi. Tumashukuru sa hikari komba sasa hivi tunavyo vya veta vingi. Wazazi usiogope kumpeleka mtoto wako veta. Actually, minafikiri hata panga mtoto wana maiza form 4, yuko likizo kusubi yuko nda form 6. Wana maiza form 6, yuko likizo kunda 2. Awele tu likizo katia mwaka moja, kunda mwingine, form 1, kunda form 2, kunda form gabi. Unaweza kumitaftia mtoto wako uyuzi, akakaa, akanifunza. Sikiu mbali mbali ambazo zinaezae kumwajiri. Ndiyo mtoto ako natamaniawe rubani, lakini kama unaona danyake, anapenda kushona, pipelekea kashoni. Ndiyo mtoto ako anataka kujia kwa daktari, lakini kama danyake, Unaona na vi skill fulani vya umeme, vya nini. Mpeleke ya kasome ya kitu cha umeme, kikozi cha umeme. Kama mtuto ako, yani awe na skill. Kijiana ni muhimu mbali na professional yanayo, awe na skill ngingi. Awe nasikila mbazo studi nyingine, studi za kufanya vitu mbali mbali, lakini pia studi za kusufetha na biyashara. Elimu ambayo itamuazesha hata taka po maliza chuo, awa kamaliza shule, kwa mbaje faulu kwenda ngazi nyingine. Kuna kitu anaweza kuanza kufanya kika msustain au kika muazesha katika uchumi wake. Ni muhim sana. Iyo ni elimu ya kuanza ambayo inasaidia. Lakini elimu ya pili Ni sualazima la life skills, studies aki maisha, vitu kama jinsi ya kufanya mamuzi, jinsi ya kurezo, matatizo, conflict resolution, decision making, resilience. Hizi ni skills ndogo-ndogo ambazo. Unaweza kuwa unaanza kufundisha mtuto hako kwa nzia kia wa nyumbani, Lakini pia mashuleni wakafundishwa, ni skills ambazo watu ingino wanajifunza kwenye maisha, when it's too late amesha anguka, amesha panyapenda. mabaya, misha, haribu, ili kwa mba usupofunzwa na mamako, asifunzwa na mamae, anafunzwa na ulimuangu. Usisubi ulimuangu ufundishi. Mjenge mtuto hako skills kwenye ilo eneo. Zita msaidia kwenye sualake la mental health. Zita msaidia hata jinsi ya kukabiliana na msongo wa mawazu. Siku wa mbayo, Anamawazo, si kwa mbayo najisike kufrustrated. Atajua techniques gani atumine ili kududi kwa sawa. Anaweza siku mingine, yani kwa sababu utu hajucha kufanya, aka nyingiza kwenye pombe na madaya kulevia. Ili kusikia ahueni kwa sababu ili mental stress alona. Lakini muanzo, haikuwa lengwa lakini kuingia huko. Kama hangi pata life skills education, hangi pata studies hakumjuisha jensi ya kukabiliana na msongwa mazo yumkini asingi ingia kunipombe na sidiara na madaya kulevi. Kwa hiyo kama mzazi, kama monye taasisi, munishule, jitahidi, uwale vijeno walio kuchini hako, wapate elimu ambayo itasaidia kuwa jenga kuni studies hamikono na studies hakuweza kujiajiri, lakini pia wapate elimu ambayo itasaidia kuni study za maisha, jinsi ya kuhishi maisha kila siku na watu. Na study nyingine ya muhimi sana ni sualazima ya ilimu ya further financial literacy. Kwa sababu, sasa hivi, kuna opportunities naweza kutokea. Kuna small grants na fursies na kupata mitaji midogo-midogo. Zipo, lakini mtua neza siwe na iyo study ya kueza kumenege hela Hajiwi, hajiwi, yani hajiwi, mtoto kipaifu ishirini mkono ni mtoto yuko sekundari, hafikiriki tukingine zaidi ya kunda kununuwa kiatu na gauni. Sio sawa. Mtoto kipaifu ishirini ya mepewa ya zawadi, hafikiriki tukingine zaidi ya kunda kula. Sio sawa. Waiyo jitahidi kwenye nafasi yako. Awe na life skills, awe na financial literacy, na awe na vocational skills, vocational skills, ilimu study, ilimu ya maisha na ilimu ya feather. Pitubia muhim sana ni linda kijana wako. Nakini tunapoenda kwenye ngazi ya USAID, tunahenda kwenye ngazi sasa ya Sarah. na mifumo. Kwa hiyo umuimu wa kuboresha selazetu na mifumo kwanza ya kuna tasisi, kunyingirangazi ya familia ya mi, tasisi, na nchi. Kuboresha mifumo netu. Ini kuangalia kuamba, tunapata Ni undombinu, inayowawizesha watu kwa huru, kupata uduma zaafi ya akili, lakini pia uwepo wa stafu, wafutosha kwenye izo clinic, na uwepo wa izo clinic kawa izo uduma hata kwenye mainewa wabayo ya kubibigini, mainewa ya ndani. Kumba mtu anapopata changa mojo hata kule kili njeni. Kwa sahibi youth friendly services tumaziona, zile udu marafiki kwa vijana zimeuza kufika hata ndani ndani kwa kiasifani. Sasa na soazi maafi ya kiwi, dinaitaji kuenda huko kwa sabi unishola mbalo, dinausu maisha kila siku ya mtu. [00:27:40] Jambo nyingine la muhimu kwenye mambo ya sere na mifumo ni sualazima la crisis response, yani kwamba mtu anagopata changamoto anaweza kukontakti nani. Siku hizi uzuri tumewona kuna hizi hotlines au namba ambazo unazoka pige, masai shina ne na wakapata uluma. Namba kama za polisi, namba za watu wa dawati la jinsia, hizo zote ni vitu ya muimu kuhepo na vika nyurikana. Kwa mba mtu wakipitia chengamoto mfano, kwa sokati ya vitu amba uvinahatiri ya fya akili, kwa vijana yungi ni mambo ya ukatili wakijinsia. [00:28:19] Wakiptendo ya vitendo kama hivyo, waende wapi, wa reporti kwa nani. Napale wanaporiporti, wapate msada, sitahiki. Ayote ni mambo ya muhimu, tunapongila sualazima la Sarah na mifumo. Lakini kitu kingini chia muhimu kwenye sualazima la Sarah mifumo, sualazima atakuimu, uwepu atakuimu, atakuimu zina tuazesha kudiuwa njizi gani, Serazetu au mifumu etu inafanya kazi nini tuboreshe, nini tufanye ili hawa vijana ili kundirika liwe salama zaidi. Basi, nina pofika hapo mimi na karibia muisho kabisa wa podcast yetu ya leo, I mean episode yetu ya leo, sawa. Chia muhimu ni kuhamba hakuna njia moja ya bio inaweza kufanya kazi pekiyake, inapoguja unyeswala la afya akili. Jamii hayuwezi kufanyaka zpekiyake, mtu hayuwezi kufanyaka zpekiyake, wala sera hayuwezi kufanyaka zpekiyake. So, hazi marafya akili iniswala mbao inaitadi, tunasumaga nini multi-sectorial approach inaitadi zaidi ya mtu mmoja, zaidi ya sekta mmoja iliku li-address. Kwa sabu ili na usu maisha na mazingira ya kila sekta. [00:29:41] Wewe huwezi peke hako, mimi si huwezi peke hako. Serikali ya huwezi peke haki, wala taasisi ya huwezi peke haki. Wote kila mmoja ananafasi ya kufanyi. Kwanzi ya mtu, individual, lakini familia, taasisi, jamii, baka serikali. Oiyo umoja wetu dio nautuezesha kupata matoki wa mazuri zaidi kuthibiti Atheris na zotokana na afya ya akili, sipo ushugui kio, lakini pia kuboresha mazigiri ambayo ya takua supportive watu kupata huduma za afya ya akili. Ni watie moyo, vijana, wazazi, walimu, kuongea kwa wazi, lakini pia kufunja ukimia uliopo kwenye sualazima laafya ya akili. Kufunja ukimia, tuwe na nafasiza kuongea, kwenye kwenye tasisi zetu, kwenye familia zetu, tuwe na nafasiza kuongea kwa wazi, lakini pia kuweza kupata msaada pale ambapo mtu anaitaji. [00:30:48] Na wewe kama ni NGO, wewe kama ni huduma mbayo unatowa kwa bali ya afya ya kili, Unaweza pia kujitangaza, share na first yambayo ukonayo ili watu wengine wajue. Bada episode hii nakaribisha watu ambao NGOs, Mental Health Services, Hotlines. Minaweza kwasiliana kwa email yetu ya drrafikiafrica at gmail.com na tutafurahi kweza kushare kontaktseno. Hata kama weni ekspert kwenye eneo hili, counsellor, psychologist, minaweza kushare nasisi kontaktsako. Tutafurahi kushare hili kweza kwasaidia ato wengi zaidi kupata msaada. Asante sana, bye rafiki.

Other Episodes

Episode

May 29, 2024 00:12:59
Episode Cover

LISHE KWA WAGONJWA WA KISUKARI

Karibu katika podcast ya leo na Doctor Rafiki kusikiliza na kujifunza kuhusu lishe kwa wagonjwa wa kisukari. Ungana nami Doctor Juliet Sebba pamoja na...

Listen

Episode

November 15, 2024 00:07:40
Episode Cover

UNAFAHAMU NINI KUHUSU WATOTO NJITI 02

Karibu kwenye Doctor Rafiki Podcast, wiki hii tukiendelea na mada kuhusu Watoto Njiti. Je, unafahamu kuhusu Kangaroo Mother Care (kmc)? Inafanyaje kazi? Kufahamu haya...

Listen

Episode

December 31, 2024 00:15:18
Episode Cover

USALAMA BARABARANI MWISHO WA MWAKA

Habari Rafiki, tukiwa tunamaliza mwaka, haya ni machache ya kuzingatia wakati huu wa sikukuu; Usalama Barabarani mwisho wa mwaka. Ungana nami Daktari wako Dr....

Listen