Doctor Rafiki Afrika

Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.

Hosted by

Latest Episodes

June 27, 2025 00:20:53
Jinsi ya kutunza ngozi yako usipate chunusi | Dr. Caroline Masanje

Jinsi ya kutunza ngozi yako usipate chunusi | Dr. Caroline Masanje

Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki Afrika, tukienda kuzungumzia suala zima la ngozi. Wiki hii tunaungana na Daktari bingwa wa masuala...

Listen

June 14, 2025 00:39:40
Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas

Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas

Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora...

Listen

June 04, 2025 00:42:00
Je, ni Kweli kuwa pumu ya ngozi (eczema) haiwezi kupona kabisa?

Je, ni Kweli kuwa pumu ya ngozi (eczema) haiwezi kupona kabisa?

Habari rafiki, karibu kwenye episode mpya ya leo, tukiendelea na mada yetu kuhusu pumu ya ngozi. Wiki hii tukiwa na Daktari bingwa wa ngozi,...

Listen

May 29, 2025 00:36:24
UNAJUA NINI CHANZO CHA PUMU YA NGOZI (ECZEMA)? KARIBU TUONGEE

UNAJUA NINI CHANZO CHA PUMU YA NGOZI (ECZEMA)? KARIBU TUONGEE

Pumu ya ngozi (eczema) ni tatizo linalowaathiri watu wa rika zote, lakini wengi hawajui chanzo chake halisi. Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki akiwa na...

Listen

May 14, 2025 00:24:05
MSIMU WA MAFUA: JINSI YA KUJIKINGA NA KUTIBU

MSIMU WA MAFUA: JINSI YA KUJIKINGA NA KUTIBU

Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua,...

Listen

May 06, 2025 00:15:33
KWANINI TUNAWE MIKONO? | DR. RAFIKI AFRICA

KWANINI TUNAWE MIKONO? | DR. RAFIKI AFRICA

Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na...

Listen