Latest Episodes

JE NI SALAMA KUNG'OA JINO WAKATI WA UJAUZITO?
Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa...

Fahamu kuhusu Bidhaa salama na zisizo salama za Ngozi
Hi rafiki, mambo vipi? karibu kwenye episode ya leo, na wiki hii tunazungumzia suala zima la ngozi tukiangazia kuhusu bidhaa salama na zisizo salama...

Jinsi ya kutunza ngozi yako usipate chunusi | Dr. Caroline Masanje
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki Afrika, tukienda kuzungumzia suala zima la ngozi. Wiki hii tunaungana na Daktari bingwa wa masuala...

Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas
Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora...

Je, ni Kweli kuwa pumu ya ngozi (eczema) haiwezi kupona kabisa?
Habari rafiki, karibu kwenye episode mpya ya leo, tukiendelea na mada yetu kuhusu pumu ya ngozi. Wiki hii tukiwa na Daktari bingwa wa ngozi,...

UNAJUA NINI CHANZO CHA PUMU YA NGOZI (ECZEMA)? KARIBU TUONGEE
Pumu ya ngozi (eczema) ni tatizo linalowaathiri watu wa rika zote, lakini wengi hawajui chanzo chake halisi. Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki akiwa na...