Latest Episodes

MSIMU WA MAFUA: JINSI YA KUJIKINGA NA KUTIBU
Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua,...

KWANINI TUNAWE MIKONO? | DR. RAFIKI AFRICA
Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na...

Sababu 05 muhimu kwanini mtoto wako apewe chanjo | Dr. Rafiki
Habari Rafiki, Karibu kwenye doctor rafiki podcast, wiki hii tunazungumzia suala zima la chanjo, na tunaenda kukueleza sababu 05 muhimu kwanini mtoto apewe chanjo....

MASWALI 10 JUU YA TB SUGU | DR. RAFIKI AFRICA
Habari rafiki, karibu kwenye dr. rafiki podcast; Karibu ujifuzne kuhusu kifua kikuu sugu, jinsi kinavyoenea, dalili zake, na mbinu za matibabu. Sikiliza majibu ya...

CHANGAMOTO YA HARUFU MBAYA MDOMONI NA UTATUZI WAKE
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya...

NJIA 05 ZA KUTUNZA UZITO SAHIHI | Doctor Rafiki Africa
Habari Rafiki, Fahamu njia 05 za kutunza uzito sahihi. Karibu ungana nami Doctor Julieth Sebba, MD.